Corrado Sanguineti15ыu

Multi tool use

Corrado Sanguineti (amezaliwa Milano, 7 Novemba 1964) ni askofu Mkatoliki nchini Italia.
Alipata upadrisho tarehe 30 Oktoba 1988.
Tarehe 16 Novemba 2015 ametangazwa kuwa askofu wa Jimbo la Pavia.
Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]
- Ukurasa wa Askofu Sanguineti katika Catholic Hierarchy
![]() |
Makala hii kuhusu Mkristo huyu bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Corrado Sanguineti kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |